China imefanikiwa kurusha katika anga ya juu chombo cha
kitakachozunguka dunia kwa majaribio. Chombo hicho, SJ-11-05, kimerushwa
leo saa 11:27 jioni kwa saa za Beijing katika kituo cha kurushia
satelaiti cha Jiuquan.
Chombo hicho kitatumika kufanya majaribio ya kisayansi na teknolojia ya anga za juu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni