Alhamisi, 20 Machi 2014

"MAISHA NI KAMA KITABU"


Maisha ni kama kitabu.Katika maisha kuna walio nafuraha, wapo  walio na matatizo ikiwa ni pamoja na kuishi katika mzingira magumu, magonjwa nk. na yote haya hutokea katika maisha yetu, lakini unaambiwa hakuna kukata tamaa endelea kusonga mbele kwani leo unaweza kuwa na huzuni au maisha magumu lakini kesho maisha yakabadilika na ukawa mwenye furaha jambo la msingi usikate tamaa.

GOD BLESS YOU.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni