Jumanne, 18 Juni 2013

BREAKING NEWS- SAIDA KAROLI AFALIKI DUNIA

Habari zilizonifikia  asubuhi hii zinasema saida karoli amepata ajari mbaya sana na kupelekea kifo chake ( ajali ya gali) watu kadhaa inasemekana pia wamejeruhiwa.

Habari hii si rasimi na haijadhibitishwa.ila mwandishi wetu=nijuze.com anafuatilia habari hii na nitarejea pindi nijuze.com atakapodhibitisha habari hii. MUNGU AMETOA NA MUNGU AMETWAA jina lake like LIHIMIDIWE


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni