Tanzania: Kima cha chini mishahara ya kisekta


Serikali ya Tanzania imetangaza viwango vipya vya mishahara kwa kima cha chini kwa kuzingatia tofauti za kisekta.
Mfanyakazi katika kampuni ya simu Mfanyakazi katika kampuni ya simu
Mishahara hiyo ambayo imepangwa kuanza kutolewa Julai Mosi inaanzia Shilingi 40,000 hadi 400,000. Sudi Mnette amezungumza na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi nchini Tanzania(TUCTA), Nicola Mgaya, akiwa safarini mkoani Kilimanjaro na kwanza alitaka kujua wameipokeaje nyongeza hiyo?  Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni