![]() |
Wema Sepetu |
Mtoa taarifa amesema, Wema, amefikishwa mahakamani asubuhi hii, Katika Mahakama ya Mwanzo ya Kawe kujibu mashitaka. Mtoa taarifa anasema baada ya mda kidogo kajala ambaye ni mtu wa karibu sana na wema alifika kituoni hapo na kuweza kunzamini wema. Kwa habari zaidi na za kina baadaye, usikose kufuatilia safu hii.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni