Jumatano, 19 Juni 2013

TAARIFA YA MSIBA

MWANDISHI CHARLES HILILA AFARIKI DUNIA

 

Marehemu Charles Hilila enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Channel Ten mkoani Shinyanga, Bw. Charles Hilila, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya mkoa wa Shinyanga ambako alikuwa amelazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu ya homa ya Malaria iliyokuwa ikimsumbua kwa muda wa siku chache zilizopita.MUNGU AMETOA NA MUNGU AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE,,,,, AMEN

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni