Jumamosi, 27 Julai 2013

Huenda Morsi akahamishwa hadi katika gereza la Torah


Waziri wa mambo ya ndani wa Misri Mohamed Ibrahim amesema rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi huenda akahamishwa hadi gereza la Torah nchini humo. Rais wa zamani wa nchi hiyo Hosni Mubarak anasemekana kuzuiliwa katika Gereza hilo la Torah.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni