alipojiwa juu kuhusu ununuzi wa rada na madhila yake kiuchumi alijibu TUTAKULA HATA NYASI NA RADA ITANUNULIWA
katika kung'ang'ania kuuzwa kwa nmb wakati ilikua ikijiendesha kwa faida - ng'ombe aliyenona ndio huuzwa kwa bei nzuri
... 4. HII YA MAGUFULI...ASIYEWEZA KULIPA APIGE MBIZI inaingia kwenye rekodi
4. JK
Wanafunzi wanaopata uja uzito wakiwa bado mashuleni ni "KIHEREHERE CHAO"
- Foleni dar es salaam ni ishara ya "MAISHA BORA"
- Hii sheria nitaisai...ni kwasababu nisipofanya hivyo wenzangu hawatanielewa
Serikali haina uwezo wa kufanya mvua inyeshe, unajua unajua hivyo, Kwa sababu (kicheko) ingekuwa na uwez...o wa kufanya mvua inyeshe mabwawa yale yangejaa
Umeme hautoshi kwa sababu mabwawa yamekauka na bahati mbaya mimi siyo Mungu ninayeweza kuamuru mvua inyeshe.
ukitaka kula ni lazima na wewe uliwe..unataka kula tu bila kuliwa!!??.....haiwezekani
!!!!
5. MWANTUMU MAHIZA -
- Waliomaliza vyuo na kukosa ajira waanzishe miradi ya kufuga kuku inalipa sana.
6. MIZENGO PINDA (WAZIRI MKUU)
Sielewi kwanini Tanzania maskini
vihela vyenyewe vidogo vinaishia kuwapa wapiga kura wetu wanapokuja dodoma
7. MUSTAPHA MKULO (WAZIRI WA FEDHA).
Kila mtanzania atakula kwa jasho lake
8. NAPE
- Tutawashikisha ukuta.
9.OCD ARUSHA -
- Wakazi wa Arusha ni mapanya
10. SOFIA SIMBA-
- Wanawake Wanyimeni Waume zenu! ''xoxoxoxo'' Wakiwapigia kura Wapinzani
Shule za kata zimesaidia watt kuolewa wakiwa wakubwa kdogo tofaut na zamani
11.MASABURI
- Wabunge wa DSM wanafikilia kwa Makalio
12. RIDHIWAN
- Mimi si Fisadi Naishi Kimjini mjini Nina kipande kidoogo cha Uwanja wa Urithi na Toyota Collola Hayo ma Vogue mnayoniona nayo si yangu Bongo tunaishi kijini mjini.. Lake Oil sio Yetu.
13.MKAPA
- waandishi wa tz upeo wao mdogo ndio maana nafanya mahojiano na waandishi wa nje
14. ANNE MAKINDA
- -kilimo kwanza ni kwa wanaomaliza darasa la kumi na mbili wa shule za kata, sababu hawana nafasi huko juu na kuna wenyewe
- Wanaharakati hawana akili
15.SUMAYE -
- "mkitaka biashara zenu zifanikiwe, wekeni bendera za CCM", -
16. RAGE
- Wanaharakati wajinga wanaingilia kazi za wabunge
17 .ALLY.H.MWINYI
- akimpigia kampeni Cisco,ubunge temeke."Haya kina mama hapo mbele mtampa!? Na akina baba huko nyuma!?
ukerewe nimependa kisiwa chenu kizuri na beach nzuri.... lakini nawaahidi nitawaletea mbegu za minazi,maana beach zenu hazina minazi..... na beach nzuri kukosa minazi,ni sawa na mwanamke mzuri aliyekosa shanga!!
Haya ndugu zanguni wote ile sukari tuliopenda sie sote isha ingia sumu"akitaadharisha dhidi ya ngono holela na maambukizi ya ukimwi
SOURCE :NYAKATO CHADEMA BLOG
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni