Jumatano, 4 Septemba 2013

MATUMIZI YA BAISKELI AFRIKA

Ein Mann transportiert Holzkohle auf dem Fahrrad nahe der zentralmosambikanischen Stadt Beira (Foto: Gerald Henzinger)


Mzigo wa kilo 300

Hakuna jambo lisilowezekana - labda hayo yalikuwa mawazo ya bwana huyu kutoka Msumbiji. Amepakia magunia sita ya mkaa kwenye baiskeli yake. Mzigo huo una uzito wa karibu kilo 300. Hapo hakuna tena kuendesha, kinachobaki ni kuisukuma baiskeli. Amefunga kamba kwenye usukani ili aweze kuiongoza baiskeli yake vizuri.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni