
Facebook yazuia picha zenye kuogofya
Siku chache tu baada ya mtandao
wa Facebook kusema kuwa utawaruhusu watu kuweka filamu za video
zinazoonyesha ghasia,imeondoa filamu moja ya video ya mwanamke
anayekatwa shingo.
Tangazo hilo la hapo jana kwamba itaondoa
marufuku hiyo kwa mda,miongoni mwa video za ghasia ilizua malalamishi
mengi kutoka kwa uma.Facebook sasa imesema itapanua vigezo vyake ili kubaini iwapo filamu za video zitawekwa katika mtandao huo au la.
Mwandishi wa BLOG hii anayesimamia maswala ya Technologia amesema hatua hiyo inawakilisha mabadiliko muhimu yalioshinikizwa na uma
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni