Matukio makubwa ya nelson mandela
na mwandishi wetu: mussa shimba
mwaka
|
tarehe
|
tukio
|
1918
|
Julai 18
|
Rolihlahla Mandela alizaliwa huko Mvezo, Transkei
|
1925
|
Alipata elimu ya msingi huko Ounu na kupewa jina la Nelson na mwalimu wake
| |
1927
|
Alilelewa na Chifu wa Thembu Jongintaba Dalindyebo
| |
1934
|
Aliendelea na masomo katika shule ya bweni ya Clarkebury huko Engcobo
| |
1937
|
Aliingia Chuo cha Wesleyan cha Healdtown huko Fort Beaufort
| |
1939
|
Alijiunga na Chuo Kikuu cha Fort Hare huko Alice
| |
1940
|
Alifukuzuwa kutoka chuo kikuu
| |
1941
|
Alikimbia ndoa iliyopangwa na wanafamilia wake, akawa mlinzi wa mgodi, na kuandika makala kwa shirika la wanasheria la Witkin, Sidelsky & Eidelman
| |
1942
|
Alipata shahada ya kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Kusini
| |
1942
|
Alianza kuhudhuria mikutano ya Chama cha ANC kama mwananchi wa kawaida
| |
1943
|
Alihitimu Chuo Kikuu cha Fort Hare, na kuanza kusomea shahada ya kwanza ya sheria katika Chuo Kikuu cha Wits.
| |
1944
|
Alianzisha Umoja wa Vijana wa ANC (ANCYL), na kumwoa Evelyn Ntoko Mase, wana watoto wanne Thembekile (1945); Makaziwe (1947 – who dies after nine months); Makgatho (1950); Makaziwe (1954)
| |
1948
|
Alichaguliwa kuwa katibu wa taifa wa ANCYL
| |
1951
|
Alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa ANCYL
| |
1952
|
Kampeni ya mapambano ilianza. Alichakuliwa kuwa makamu mwenyekiti wa kwanza wa ANC huko Transvaal. Baadaye alichaguliwa kuwa naibu mkuu wa ANC. Alihukumiwa kifungo cha miezi tisa jela na kazi ngumu, pamoja na Walter Sisulu, J. S. Moroka, na watu wengine 17; Afungua ofisi ya kwanza ya wanasheria weusi pamoja na Oliver Tambo
| |
1953
|
Alitunga mpango mkubwa wa operesheni za kisirisiri za ANC
| |
1955
|
Alishuhudia kupitishwa kwa Hati ya Uhuru
| |
1956
|
Mandela na wengine 155 walikamatwa kwa tuhuma za uasi na kuachiliwa Machi 1961
| |
1958
|
Aliachana na Evelyn Mase, kumwoa Nomzamo Winnie Madikizela, wana watoto wawili Zenani (1959) and Zindzi (1960)
| |
1960
|
Machi 21
|
Mauaji makubwa ya Sharpeville
|
Machi 30
|
Hali ya hatari ilitangazwa, na Mandela ni miongoni mwa maelfu waliokamatwa
| |
Aprili 8
|
ANC kilipigwa marufuku
| |
1961
|
Aingia mafichoni; Kundi la Umkhonto weSizwe (MK) liliundwa
| |
1962
|
Januari 11
|
Alikwenda nchi ya nje kupata mafunzo ya kijeshi na kutafuta kuungwa mkono kwa chama cha ANC
|
Agosti 5
|
Alikamatwa karibu na Howick, KwaZulu-Natal
| |
Novemba 7
|
Alihukumiwa kifungo cha miaka mitano kwa uhalifu wa uchochezi na kwenda nje ya nchi bila pasipoti
| |
1963
|
Mei 27
|
Alipelekwa kwenye kisiwa cha Robben
|
Juni 12
|
Alirudishwa kwenye gereza la Pretoria
| |
Oktoba 9
|
Alipelekwa mahakamani kwa mara ya kwanza katika kile kilichokuja jufahamika kama kesi ya Rivonia
| |
Disemba 3
|
Akana tuhuma za hujuma katika kesi ya Rivonia
| |
1964
|
Juni 11
|
Watu wote isipokuwa Rusty Bernstein na James Kantor walihukumiwa kifungo cha maisha jela
|
1969
|
Julai 13
|
Mtoto wake Thembekile alifariki katika ajali ya barabarani
|
1982
|
Machi 31
|
Mandela, Sisulu, Raymond Mhlaba, na Andrew Mlangeni wapelekwa gereza la Pollsmoor
|
1985
|
Alikataa pendekezo la rais PW Botha la kumwachia huru kwa sharti la kuacha vitendo vya kimabavu
| |
1985
|
Novemba 3
|
Afanyiwa upasuaji wa kibofu cha mkojo
|
1988
|
Agosti 12
|
Alazwa kwenye hospitali ya Tygerberg na kugunduliwa kuwa na kifua kikuu
|
Agosti 31
|
Alazwa kwenye zahanati ya Constantiaberg
| |
Desemba 7
|
Ahamishiwa kwenye gereza la Victor Verster huko Paarl ambako alishikiliwa kwa miezi 14 katika nyumba ndogo
| |
1990
|
Feburari 2
|
Marufuku dhidi ya ANC yaliondolewa
|
1990
|
Feburari 11
|
Aliachiwa huru
|
Machi 2
|
Alichaguliwa kuwa makamu mwenyekiti wa ANC
| |
1993
|
Desemba 10
|
Mandela na FW de Klerk walipewa tuzo ya amani ya Nobel
|
1994
|
Aprili 27
|
Alipiga kura kwa mara ya kwanza maishani mwake
|
Mei 9
|
Bunge la Afrika Kusini llilimchagua kuwa rais wa kwanza baada ya Afrika Kusini kuwa nchi ya demokrasia
| |
Mei 10
|
Kuapishwa kuwa rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini
| |
Desemba 14
|
Alizindua kitabu kuhusu maisha yake cha Long Walk to Freedom
| |
1995
|
Alianzisha mfuko wa watoto wa Nelson Mandela
| |
1996
|
Aliachana na Winnie Mandela
| |
1998
|
Julai 18
|
Alimwoa Graça Machel katika siku yake ya kuzaliwa alipotimiza miaka 80
|
1999
|
Alistaafu baada ya kuwa madarakani kwa kipindi kimoja, na kuanzisha mfuko wa Nelson Mandela
| |
2001
|
Agunduliwa kuwa na saratani ya tezi kibofu
| |
2003
|
Alianzisha mfuko wa Mandela Rhodes
| |
2004
|
Juni 1
|
Alitangaza kuwa atastaafu maisha ya hadhara
|
2005
|
Januari 6
|
Alitangaza kuwa mtoto wake mkubwa Makgatho alifariki kutokana na Ukimwi
|
2007
|
Alishuhudia kusimikwa kwa mjukuu wake Mandla kama chifu wa baraza la kikabila la Mvezo
| |
2008
|
Julai 18
|
Atimiza miaka 90. Atoa wito kwa kizazi kijacho kuendelea kupigania haki za kijamii
|
2009
|
Alipiga kura kwa mara ya nne maishani mwake. Alihudhuria hafla ya kuapishwa kwa rais Jacob Zuma tarehe 9 Mei
| |
2010
|
Apokea kombe la dunia la FIFA kabla halijatembezwa Afrika Kusini
| |
2010
|
Juni 11
|
Kitukuu wake wa kike Zenani auawa katika ajali ya gari
|
2010
|
Juni 17
|
Ahudhuria mazishi ya kitukuu wake
|
2010
|
Julai 11
|
Alihudhuria fainali ya mashindano ya soka ya Kombe la Dunia huko Soweto
|
2010
|
Julai
|
Asherehekea miaka 92 ya kuzaliwa mjini Johannesburg akiwa na familia na marafiki
|
2010
|
Oktoba
|
Kitabu chake cha pili Conversations with Myself kilianza kuuzwa
|
2010
|
Novemba 18
|
Akutana na timu za mpira wa miguu za Afrika Kusini na MArekani zilizoshiriki mechi ya kombe ya Mandela
|
2011
|
Januari
|
Alazwa hospitali mjini Johannesburg ambako anagunduliwa kuwa na maambukizi kwenye kifua. Atoka hospitali baada ya siku mbili.
|
2011
|
Mei 16
|
Apiga kura kwenye uchaguzi mdogo
|
2011
|
Juni
|
Kitabu chake cha Nelson Mandela By Himself: The Authorised Book of Quotations kilianza kuuzwa
|
2011
|
Juni 21
|
Alitembelewa na Michell Obama, mke wa rais wa Marekani, na watoto wake wawili
|
2011
|
Julai 18
|
Asherehekea miaka 93 ya kuzaliwa na familia yake huko Qunu, Eastern Cape
|
2011
|
Oktoba 21
|
Ahesabiwa rasmi katika zoezi la sensa nchini Afrika Kusini mwaka 2011
|
2011
|
Disemba
|
Asherehekea sikukuu ya Krismas na familia yake kijijini Qunu
|
2012
|
Februari 25
|
Alazwa hospitali kutokana na maumizu. Atoka baada ya siku moja
|
2012
|
Julai 18
|
Asherehekea miaka 94 ya kuzaliwa akiwa na familia yake huko Qunu, Eastern Cape
|
Disemba 8
|
Alazwa hospitali
| |
Disemba 26
|
Atolewa
| |
2013
|
Januari 1
|
Asherehekea mwaka mpya na familia yake mjini Johannesburg
|
Machi 9 - 10
|
Hospital
| |
Machi 27 - Aprili 6
|
Hospitali
| |
Juni 8
|
Alazwa hospitali
| |
Desemba 5
|
Afariki Dunia
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni