Tanzania na harakati za kutokomeza ajira za watoto majumbani

Mfanyakazi wa nyumbani
Wiki hii dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza ajira za
watoto. Siku hiyo ilifanyika huku mkutano wa kimataifa wa 102 wa shirika
la kazi duniani, ILO ukiendelea hukoGeneva, Uswisi. Maudhui ya mwaka
huu ni kutokomeza ajira za watoto majumbani. ILO inasema kuwa watoto
zaidi ya Milioni 10 na nusu wameajiriwa majumbani duniani kote na
wengine wana umri wa hata miaka mitano na idadi kubwa ni watoto wa kike.
Ajira hizo zinawanyima hakiyaoya msingikamaile ya kuendelezwa
inayojumuisha pia kupata elimu. Je nchiniTanzania haki iko vipi?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni