Jumatano, 26 Juni 2013

Kenya: Ziara ya Obama Afrika

Rais wa Marekani Barack Obama anaanza ziara yake ya pili barani Afrika wiki hii katika nchi tatu,Senegal,Afrika Kusini na Tanzania.
Kwa mara nyingine tena Obama ambaye babake ni mzaliwa wa Kenya hataizuru nchi hiyo na badala yake amechagua nchi jirani ya Tanzania,suala hili limezua mjadala mkali nchini Kenya hasa ikizingatiwa naye Rais Uhuru Kenyatta wiki hii pia anaanza ziara barani Asia na kuzua hoja ya je ni wakati wa Kenya kuelekeza macho yake Mashariki. Caro Robi amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Kenya Herman Manyora na kwanza alimuuliza nini mtazamo wake kuhusiana na suala hili? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni