
Msanii Winfrida Masanja �Kajala�
Taarifa kutoka kwa mmoja wa waandaaji wa filamu hiyo ambayo iko katika hatua za mwisho, imeeleza kuwa Kajala ameigiza kama msichana wa kijijini anayefanyiwa unyanyasaji na humo ameshirikiana na wasanii kadhaa nyota, wakiwamo Mohammed Fungafunga 'Jengua', Fatuma Makongoro 'Bi Mwenda' na Lumole Matovolwa 'Biggie'.
Katika filamu hiyo, Kajala amecheza kama msichana anayelelewa na wazazi wake watata, Jengua na Bi Mwenda.
CHANZO:
NIPASHE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni