Wakuu wa idara ya polisi nchini Kenya wamewapiga marufuku
maafisa wa polisi kujipamba kwa bangili, vipuli, rangi mdomoni na
kuchanganya nguo za kiraia na sare rasmi. Ni hali ambayo imezua hisia
mbali mbali miongoni mwa wakenya, kama anavyoarifu mwanahabari wetu
Paulo Silva kutoka jijini Nairobi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni