Jumatatu, 26 Agosti 2013

Visa vya binadamu kushiriki ngono na wanyama


Na Flora Martin Mwano>>
 sikiliza hapa>>>http://www.kiswahili.rfi.fr/aef_player_popup/rfi_player#
Karibu katika makala ya Habari Rafiki na hii leo tunajadili matukio ya binadamu kushiriki ngono au kufanya mapenzi na wanyama kuonekana vikizidi kushika kasi katika siku za hivi karibuni, nini chanzo cha mambo haya na nini suluhisho lake? Ungana na Flora Mwano mwanzo mpaka mwisho wa Makala hii.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni