Jumamosi, 24 Agosti 2013

Vyombo vya habari Tanzania na maadili

Journalists stand near cameras in front of the Mediclinic Heart Hospital in Pretoria on June 11, 2013. Nelson Mandela was spending his fourth day in hospital Tuesday where he was being treated in intensive care for a lung infection. The 94-year-old former president was rushed to a Pretoria hospital early Saturday and was said to be in serious but stable condition. AFP PHOTO / ALEXANDER JOE (Photo credit should read ALEXANDER JOE/AFP/Getty Images)
Erstellt am: 11 Jun 2013

MASUALA YA JAMII

Vyombo vya habari Tanzania na maadili

Wakati matukio ya hapa na pale yakitishia usalama wa nchi kwa ujumla, je waandishi wa habari wa Tanzania wana jukumu gani katika kuielekeza nchi hiyo kwenye muelekeo salama zaidi kisiasa na kijamii?
Mohammed Khelef anaongoza Maoni Mbele ya Meza ya Duara kujadili mada ya waandishi wa habari na maadili nchini Tanzania. Mjadala unahudhuriwa na Yahya Mohamme, mwandishi wa habari wa siku nyingi nchini Tanzania, Paul Malimbo wa wa Baraza la Habari la Tanzania na Steven Ouma Bwire, Katibu Mkuu wa Umoja wa Waandishi wa Habari wa Uganda.

Kusikiliza kipindi hiki, tafadhali bonyezahapo chini.
Makala: Mohammed Khelef
Mhariro: Josephat Charo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni