Waatam wa kiafya kutoka Shirika la Afya Duniani WHO wanasema kuwa hali hiyo haijawahi kushudiwa, huku wanasayansi kutoka China wakidai kuwa bakteria hao ni hatari sana na wana sumu ambayo pia inaweza kusambazwa kwa haraka.
Aidha, Serikali ya Uhispania imepinga taarifa kutoka Ujerumani, inayodai kuwa matangao hayo, yametoka nchini humo.
Bakteria hao wamesababisha idadi kubwa ya watu kuharisha nchini Ujerumani na wataalam wa kiafya wameonya wasafiri wanaoelekea Ujerumani, kutokula matango hayo kwani yanaweza hatarisha usalama wa maisha yao.
Aidha, Serikali ya Uhispania imepinga taarifa kutoka Ujerumani, inayodai kuwa matangao hayo, yametoka nchini humo.
Bakteria hao wamesababisha idadi kubwa ya watu kuharisha nchini Ujerumani na wataalam wa kiafya wameonya wasafiri wanaoelekea Ujerumani, kutokula matango hayo kwani yanaweza hatarisha usalama wa maisha yao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni