Ijumaa, 21 Machi 2014

MAJANGA: BARABARA HATA MWEZI HAUJAISHA YAANZA KUWEKWA VIRAKA VYA SARUJI JIJINI MBEYA




Barabara kuu ya itokayo katikati ya jiji la Mbeya kwenda Mbalizi kupitia Mabatini Meta imeanza kuharibika mapema toka lami iwekwe takribani mwezi mmoja uliyopita hii ndiyo halisi ya barabara hiyo

kweli hii barabara itamaliza mwei huu?


Wahusika mpoooo








Tayari baadhi ya maeneo ya barabara hiyo mashimo yameanza kuzibwa na tope la saruji



Picha yenyewe inajieleza je hii ni halali?






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni