Jumapili, 28 Julai 2013

Miaka 60 ya makubaliano ya kusitishwa vita vya Korea



Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea imeandaa gwaride la heshima kuadhimisha miaka 60 ya makubaliano ya kusitisha vita vya Korea nchini humo. Habari zinasema kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong Un alikagua gwaride la wanajeshi na kushuhudia maonesho ya msafara wa magari ya kijeshi yenye silaha za vita katika uwanja wa Kim Il Sung nchini humo. Mkuu wa baraza la mashauriano ya kisiasa wa jeshi la Korea Choe Ryong Hae amesema amani ni suala linalopatiwa kipaumbele zaidi na nchi hiyo na jukumu la jeshi la taifa ni kulinda nchi hiyo kutokana na uvamizi wa nje. Vita vya Korea vilisitishwa Julai 27 mwaka 1953 baada ya makubaliano ya kusitisha vita kusainiwa katika

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni